swc_luk_text_reg_Uncomplete/01/01.txt

1 line
402 B
Plaintext

\c 1 \v 1 Batu mingi barikuya mukazi ju ya kwanjika maulizo kwa mambo iliti mizika kwetu. \v 2 Kisha mambo yote baritutumia taugia mwanzo, batu benye bali ona na bari kuya batumisha ba neno. \v 3 Ni kwaile, mimi tena, mimeona mueuri kuji tambuza vile kwanza mwanzo na kwandika kwako, kaki tabu ju ya leta oda ya muzuri sana kwa Teofilo. \v 4 Ninataka kwa ufahomu wa kweli kwa mafundisho bari baripata.