\v 33 Baka mwambiya: "bana funzi ba yohanibana funga sana na kufanya maombi, sawa na banafunzi ba ku farisayo, kisha bangu bana kula na ku kunyua". \v 34 Yesu akamabiya: "inaweza kana mwambiye ba rafiki ya bwana ku kila tshakula wakati yenye bwana ikonabo?. \v 35 Siku ita kuya yenye ba bwana yabo bakabatoka, ku ile siku bata kila tshakula".