Tue Mar 03 2020 07:47:42 GMT-0500 (EST)

This commit is contained in:
parfait-ayanou 2020-03-03 07:47:42 -05:00
commit d60d981dcb
99 changed files with 199 additions and 2 deletions

1
01/01.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\c 1 \v 1 Batu mingi barikuya mukazi ju ya kwanjika maulizo kwa mambo iliti mizika kwetu. \v 2 Kisha mambo yote baritutumia taugia mwanzo, batu benye bali ona na bari kuya batumisha ba neno. \v 3 Ni kwaile, mimi tena, mimeona mueuri kuji tambuza vile kwanza mwanzo na kwandika kwako, kaki tabu ju ya leta oda ya muzuri sana kwa Teofilo. \v 4 Ninataka kwa ufahomu wa kweli kwa mafundisho bari baripata.

1
01/05.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 5 Na wakatiwa Herodi mufalme wa Wayuda, kulikuya mukuhani mukubwa kwa jina ya Zakaria, wa arikumu nkunji ya ba padri ba mu abiya. Na nuke wakizazi ya Aroni jina yake Elisabeti. \v 6 Na bote bawiri barikuya benye kweli mbele ya Mungu, bari heshimiya makanuni na mafundisho ya Bwana. \v 7 Na bakukuye na mtoto, sababu Elisabeti hakukuya mwenye kuzala, na bote miaka yao ilikuya kupita kwa ile wa kati.

1
01/08.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 8 Siku nioja Zakaria alinza kufwanya kazi ya upadri mbele ya Mungu, na ilikuya wakati ya kinkunji yake ju ya kutumika. \v 9 Kufwatana desturiya ku pika kwa baritafuta kuhani ule ata saidia kazi na bari beba na ku muingiza ndani ya tempelo ya Bwana ju ya kuchoma ubani. \v 10 Na kinkunji ya batu kiri kuya mu maombi inje ya wakati ya matoleo ya ubani.

1
01/11.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 11 Na malaika ya Bwana alimutoke kwo mukono wa kuume kusimama kumazabau ya ubani. \v 12 Na kionyesho ya malaika, Zakaria anachanganyikwa na ku ogopa. \v 13 Na malaika akamwambia: «Usiongope Zakaria sababu maombi yako bana ishikiya. Na bibi yako Elizabeti atazala mtoto mwana une na bata mupanga jina lake Yoane.

1
01/14.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 14 Na ataku ya alamaya furaha na shangwe batu bamingi ba rifiraha kuzarika kwake. \v 15 Na atakuya mukubwa mbele ya Bwana, na hata kunwa mwinyo wala pombe ya makari sana. Na ata jazwa na roho mutakatifu kutokeya muntumba ya mama yake.

1
01/16.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 16 Na Israeli mingi batagenza uso waokwa Bwana. \v 17 Batatembeya mbele ya Mungu, na roho muta katifu na nguvu ya Elia, kugenza mioya ya wa baba kwa watoto babo, na kuwagenza mu ujambazi wao kwa kutembea kwa akili ya benye heki, wala kutengene za kwa Bwana kikunji kilio tengenzwa.

1
01/18.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 18 Zakaria akamwambiya malaika: «Mimi tayi fahamu maneno hii mufano kani, kwa sababu minesha kuya mzee?». \v 19 Malaika akamijibu: « Niko Gabriele, ule anashimama mbele ya Mungu. Na minu barinituma ju nikuone na nikupashe habari njema. \v 20 Tazama, hautasema tena, utakuya bubu paka siku ile maneno hiyi itafanyika, kwa sababu hau kuamini sauti ya ma sauti yangu, nayo ya talimiza kwa wa kati yake.

1
01/21.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 21 Nabale batu barimu chunga Zakaria na barianza kushanga wakati aribakia saa mulefu ndani ya nyumba takatifu. \v 22 Na wakati aritoka, asikusema tena, nabaritambua kusema aripata maonyo ndani ya nyumba takatifu. Na arianza kusumburia nabo paka kubilole tu. \v 23 Na wakati irieneya ya kazi ku malizika aritaka na arienda kwake.

1
01/24.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 24 Nakisha wakati bibi yake Elizabeti arikuya na mimba, kisha miezi tano arianza kufichama, nakurisemeya yeye moya. \v 25 Tazama hivi Bwana ananite ndeya; aritazam macho yake kwangu na kunitosha haya mbele ya watu.

1
01/26.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 26 Na mwezi wa sita wakati ya mimba, malaika Gabrieli bari mutuma na Mungu ku muji wa Galilaya kwa jina ya Nazareti. \v 27 Kwa kijana mwana muke arikuya bekira muchumba wa wa Yusufu, wa mu kizazi ya Daudi. Bikira huyu njina yake ilikuya Maria. \v 28 Malaika arikuya kwake ku mwambia: «Salamu, kwako kwa weye Mungu arikupa neema nukubua, Bwana eko pamoja naweye.» \v 29 Sababu ya neno hiyi arisikitika sana na akaji uliza ju ya meneno hiyi.

1
01/30.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 30 Na malaika akamwambia: « Ushiongope, Maria sababu unapata neema mbele ya Mungu. \v 31 Tazama utapata mimba na utazala mtoto mwana ume bata muyita Yesu. \v 32 Na atakuya mukubwa, bata muita mwana wa Mungu wa juu mbinguni. Na Bwana Mungu ata mupa kiti kambo yake Daudi. \v 33 Na atwala mashiku kwa mashiku mu nyumba ya Yakobo na hamuta kuya tena mwisho ya ufalme wake».

1
01/34.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 34 Na Maria aka sema na malaika: « Maneno hiyi ita namuna kani? kwa sababu sijuwe mwana ume?» \v 35 Na malaika arimujibu: « Roho mutakatifu itashuka yulu yako na nguvu ya juu ita kufunika kwa kiuvuri. nikule mtoto atazalikwa mutakatifu, na bata muita mwana wa Mungu.

1
01/36.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 36 Nautazame Elizabeti na ye alipata mimba ya mtoto mwana ume mubuze bwake, na eko na mimba ya miezi sita; yeye barianza kucheka kama ashi zalake (tasa). \v 37 «Hakuna kile kiko nguvu kwa Mungu». \v 38 Maria akasema : Tazama mimi ni mutumishi mwana muke wa Bwana. «Na ifwanike kwangu sawa vile bana isema !» Na malaika arimwacha.

1
01/39.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 39 Na wakati ile Maria arienda kuingiya mu muji wa mulima wa Yudea. \v 40 Aringiya kunyumba ya Zakaria na arimulamukiya Elizabeti. \v 41 Kisha Elizabeti kushikia jambo ya Maria, na mtoto aritingizika ndani ya mimba. Na Elizabeti arijazwa na roho mutakatifu.

1
01/42.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 42 Na akasema kwa sauti ya nguvu: « Umebarikiwa katika bana muke bote, na ibarikiwe tunda la tumbo yako. \v 43 Ma neno hiyi watokea wapi, mama wa Bwana wangu anaku ja kwangu. \v 44 Na kisha ku masalimiya na kushikiya sauti ilifika kwa Maria na mtoto alitenga ndani ya ntumbo yake. \v 45 Heri kwa yule ona amini, kwa kupokeya ile Bwana arisha kusema.

1
01/46.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 46 Kisha Maria akasema: « moyo wangu unamusifu Bwana. \v 47 Na roho yangu ina furahi ndani ya Mungu. yeye Bwana na mukombozi wangu.

1
01/48.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 48 Aritazonia macho yake ju ya kija kazi wake na bizazi bitaniita heri. \v 49 Maana mwenye nguvu ana fwanya matendo ma kubwa kwngu na jina lake ni mutakatifu.

1
01/50.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 50 Na rehema yake niyulu ya bizazi na bizazi, bina mu ogopa. \v 51 Aritenda nguvu kwa mukono wake; Na ariza mbarisha mawazo yao ya kiburi.

1
01/52.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 52 Ana angusha bakubwa mubichi biabo. Na anapandisha bale ba kurishusha. \v 53 Na bale bari kuya na yala anabajibisha na bintu bizuri, lakini benye mari, anaba fukusha kwa mikono yabo ya wazi.

1
01/54.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 54 Arikuya kuba saidiya wa Israeli kma mutimishi wake, na ju ya kuonesha buluma yake. \v 55 (Kama aribaombiya wa baba yabo). Abrahalmu na kizazi yake hata milele.

1
01/56.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 56 Maria ariikala na Elizabeti kuribu miezi tatu, kisha yake ariluria kwake. \v 57 Sasa kuzala kwa Elizabeti ku na kuya, na arizala mtoto mwana ume. \v 58 Ba jirani yake na jamaa yake wakati barishikiya neno hiyi. Kama Bwana arimushikiria buluma, na arifurahi ndani yake.

1
01/59.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 59 Na shiku ya munane barikuya na mtoto ju ya kumu peleka kumukanda. Na barimuita «Zakaria» kwa jina ya baba yake. \v 60 Mama yake akajibu akisema: « Jina yake ni Yaone». \v 61 Waka mwambia : « Mu jamaa hamuna ule anaitaiwa njina ile».

1
01/62.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 62 Bari muelezea baba yake kwa na alama yabilole ju babape njina ya mtoto. \v 63 Bari muleteya ka lubao ju anjike jina ya mtoto: «njina lake ni Yaone» Na bote barishanga.

1
01/64.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 64 Na mara moja kinua chake kilisema akaleta njila na aka msifu Mungu. \v 65 Na boka iri bakamata bote barijungulukiwa na muji ule. Na munulima ya Yudea. \v 66 Na bote barishikiya maneno haya, balipasha na kusema: Huyu ni mtoto wa mufano gani? Na mu mukono wa Bwana ulikuya pamoja na yeye.

1
01/67.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 67 Na Zakaria alijazwa na roho mtakatifu, na ari taburi na kusema: \v 68 «Abari kiwe Bwana na Mungu wa Israeli sababu aribatembeya watu wake, naku wa ombea tena»

1
01/69.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 69 Ametunya nyilu nguvu na woko mu jamaa wa Daudi, mutumishi wake. \v 70 Ni ile aritabiri kukinua chake na ba takatifu bote tangiya zamani. \v 71 Na wokovu wetu kwakutu komboa kwa mikono ya adui zetu bale baritu chukiya.

1
01/72.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 72 Arionesha uruma wake wake kwa baba yetu, nakuku mbuka agano ta katifu. \v 73 Kufuatana na kiyapo kile ari mulaka baba yetu abahamu na anatutimizia. \v 74 Kisha kututosha mu mikono ya ba dui zetu, inapashwa ku mogopa na kumuomba. \v 75 Ndani ya utakatifu na uhaki wa maisha yetu yote kuwatazanua siku yote ya maisha yao.

1
01/76.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 76 Na weye mtoto yangu utaitwa nabii wa aliye ju kwani utatembeya mbele ya Bwana ja ya kumu te ngenezea nja. \v 77 Na kuleta kwa watu wake akili na wokovu kupitiya ku usema ya zambi yao.

1
01/78.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 78 Na Mungu wetu atatu hurumia kupitia ku rehema yake. Na ile rehema itafa nanishwa na jua ya asubuyi ju ya kuangaza toka ju mbinguni. \v 79 Na ataangaziya bale bote beko katika ngiza na mu kinvuri ya mauti. Na ju ya kuongoza mi guu yetu kwa njia ya salama.

1
01/80.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 80 Kisha mtoto alianza kukomeya kwa roho mutakatifu. Alikuwa anekaa mu jangwa mpaka siku alianza kutoka mbele ya watoto wa Isreali.

1
01/title.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
Sura 1

1
02/01.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\c 2 \v 1 Muile masiku, mufalme kubwa Waroma, yeye Kaisala Agusito aka andika mupango moyaku kibarua na kusema watu wote wa mu engo yake be ba balule na kuba andika kufwatana na bizazi na migine. \v 2 Ile kazi ya kuji andikisha ku bizazi njo ilikuyaka ya kwanza, ni ile wakati kileniusa ali anza kuongoza inchi ya salia kama liwali. \v 3 Batu bote ba anza kwa kuji andikisha kila mutu ku mugini ya kizazi.

1
02/04.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 4 Njo pale Yosefu naye akatoka Nazaleti jimbo la galilea, juu akafike kwabo kujimbola Yudea, mu mugini ya Daudi, jina Befelehema, juu ali kuwa mutu wa kizazi kya Daudi. \v 5 Ili pasha ende aka andikishe yeye na Maria, mtoto mwanamke ule alichala amu owe, pale eko na mimba.

1
02/06.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 6 Wakati bangari pale, ika enea wakati wake wakuzala. \v 7 Akazala mtoto mwana ume, kuzala kwake kwa kwanza, aka mu vwika na kumufunika bya baridi na kumu larisha mu kimbao mwa kurisha ba nyama, juu hakupata chumba ya kuripia mu nyumba kuna fikiaka bageni.

1
02/08.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 8 Karibu na mugini kuli kuya bachungaji bali anza kulisha ma nyama yao busiku na juwa beko mupori. \v 9 Kushituka hivi, malaika wa Bwana aka ba tokelea, na utukufu wa Bwana ika wa angazi fasi yote bali ikala, baka ogopa sana.

1
02/10.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 10 Ule malaika aka ba ambiya « Musi ogope juu mina mile tea habari ya muzari, yenye italeta furaha kwa kila mutu. \v 11 Kuna zalikwa juu yenu, siku ya leo, mu mogini ya Daudi mukombozi yeye njo Kristo, ye Bwana. \v 12 Hii njo alama ya kuyuwa mtoto: Mu taku ta mtoto wa kuzaliwa leo, bana mu vwika na kumufunika bya baridi, ban mu larisha mukibao kya kulisha banyama.

1
02/13.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 13 bashituke tena kinkindi kinene kya ba soda bamu mbingu, baka kuya kuchangana na ule malaika, baka imba na kutukuza Mungu aseme: \v 14 « Utukufuni yako Mungu mule mu ma mbingu ya yulu kupita, na apa padunia, kimia iwe kati kati ya batu bale bana mufuraishaka.

1
02/15.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 15 Pale bamalaika banarudia ku mbingu, bale bachungaji wa one shana aseme: « Twendeni sasa paka ku Beteleheme tukaone hii mambo ina tokea mo, ile Bwana an tu onesha. \v 16 Baka enda mbiyo kule, bakakuta Maria na Yosefu na mtoto analala mukibao kya kulisha nyama.

1
02/17.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 17 Wakati wali ona bileryote, raka anza ku onesha batu bote ile mambo yote ila bafikaya yulu ya mtoto uie. \v 18 Bale bote bali anza kusikiya habari ya mtoto bali shangala san bile ba chungaji. \v 19 Pale Maria, alianza kuwazawaza yulu ya hii maneno yote alisikia, ali ichunga sana mu roho yake. \v 20 Kisha bachungaji bakarudiya beko na tukuza na kusifo Mungu kwa ile yote bali ona na kusikiya, kufwatana naile yote bali bambiyaka.

1
02/21.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 21 Pale siku ya munane, njo siku yakumu tengeneza bwanaume baka mupa jina la Yesu, jina ile malaika ali letaka mbele mama apate mimba.

1
02/22.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 22 Bwingi bwa masiku ya kutakasa wa kuzala ili enea, kufwa tana na sheria ya Musa, Yosefi na Maria bakamupeleka ku hekalu ku Yelusalema juu bamu oneshe mbele ya Bwana. \v 23 Ina andikwa mu sheria ya Bwana: « Kila mtoto mwana ume wa kwanza, bata mupa ye Mungu. \v 24 Bakafika batoe na sadaka juu ya mtoto vile ina andikwa mu sheria ya Bwana: « ba njiwa ba pori bawili wa kiume na wa kike ao bitoto bya njiwa ya mugini mbili.

1
02/25.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 25 Kumbe kuli kuyaka mze moya anaitwa Simeoni. Mutu uyu ali kuyaka wahaki na ku ogopa mungu sana ali kuya eko na ongolea pale Israeli ata faridiwa na roho mutakatifu ali kuya yulu yake. \v 26 Bali mufuliaka maonyo kwa njia ya roho muta katifu ya kusema hawezi kufa asiya ona masia wa Bwana.

1
02/27.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 27 Siku ile, Simeoni aka sukumiwa na roho mutatifu a kuye mu hekalu. Na njo saa bazazi beko naleta mtoto Yesu juu ba enesheye kila kitu sheria inalomba. \v 28 Aka mubeba mtoto mu mikon yake, aka mwabudu Mungu na kusema . \v 29 «Bwana sasa acha mutumishi wako ende na kimkia kufwatana na kusema kwako.

1
02/30.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 30 Juu macho yangu ina ona wokovu wako. \v 31 Ile ulitenge nezea bizazi byote: \v 32 Ni mwangaza juu ya ku onesha wazi masiri ku ma bizazi bingine tena utukufu ya watu wako wa Israeli.

1
02/33.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 33 baba yake na mama yake bali kuya bali kuya beko na shangala tu ku bile byote bali anza kusema yulu ya mtoto. \v 34 Simeoni a li ba barikina kusema na malia mama yake: « Uyu mtoto anawekwa ju ya kwangusha aba na kulamusha batu mingi kati na Isreali na atakuya kama mwenye ata lamusha bubishi. \v 35 Na kisu ta kutobolaka roho yako juu mawazo ya batu mingi itokeepeupe

1
02/36.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 36 Kuli kuyaka na mwanamke nabii jina lake ana, mtoto wa fanueli, mu kizazi cha aseri ali zeeka sana. kwanza buyana bwake, ali olewaka, ana fanya tu nyaka saba, Bwana akakufa. \v 37 Ali bakiya mujane myaka makumi munane na ine, asi anze kwacha nyumba ya Mungu na ku itengeneza na kufunga chakula juu ya maombi busiku na mu juwa. \v 38 Ile saa ile, naye akafika pale beko na aka anza kushukuru Mungu tena aka anza ku ambiya maneno ya mtoto ku batu bote bale bali anza ku ongolea kukombolewa kwa Yelusalemu.

1
02/39.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 39 Wakati bazazi ya Yesu bali isha kufanya kila kitu sheria ya Bwana inaomba, bakarudiya ka ku Nazareti, mgini yabo ku Galilaya. \v 40 Mtoto aka komeya na kukuya nguvu, ali ongezeka muhekima na neema ya Bwana ili kuwa yulu yake

1
02/41.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 41 Bazazi yake bali anzaka kwenda kila mwaka ku Yelusalama juu ya furaha Pasaka. \v 42 Pale ali enesha miaka kumina mbili, akapanda pamoya na bosawa zoezi ku ile furaha. \v 43 Kisha masiki ya furaha kuisha, barudia kwabo, kumbi mtoto Yesu ali bakiya mu Yelusalema, lakini bazazi haba angarishisha muzuri. \v 44 Muku waza aseme eko tu mu katikati ya batu bali anza kurudaia nabo baka tembea siku muzima njo bakashituka njo ba anze kumu tafuta ku ba nduku na ku ba rafiki.

1
02/45.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 45 Hivi haba ku muone, bakarudia paka Yelusalema kumu tafuta. \v 46 Kisha siku tatu ba ende kumu pata ndani ya hekalu anaikala katikati ya balimu, eko nabasikiliza naku ba uliza. \v 47 Bote balishangaa sana ku ona akiriyake na majibu yake.

1
02/48.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 48 Pale bali mu ona, na bo vilevile bu i shangala sana na mama yake akasema naye: « Mtoto yangu, juu ya nini unetufanya hivi? sikiya, baba yako na miye tuko tuna kutafuta na boka sana.» \v 49 Aka baambiya: « Muna nitafuta juu yanini, hamujuwe kama mina pashwa kwikala mu nyumba ya Baba yangu.» \v 50 Lakini bo habasikia ma ana ya ile alisema.

1
02/51.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 51 Kisha aka enda na bo kurudia ku Nazareti, ali kuya tu wakuba eshimiya sana. Na katika ile ile maneno yote, mama yake alikuya eko na ichanga muzuri ndani ya roho yake. \v 52 Lakini Yesu aka endelea kukomea muhekima na maungu, na kufura isha Mungu nabatu.

1
02/title.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
Sura 2

1
03/01.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\c 3 \v 1 Tangu mwika kumi na tano ya utawala wa Tiberio a Kaisari,na ile wakati Pontio Pilato alikuwa liwa liwa Yedea, Herode alikuwa mukuu wa Galilaya, Filipo, ndungu yake naye aliku liwali mukuu inchi ya itu rea na Trakonite, na lisania alikuwa mukuu mu Abilene. \v 2 Na wakati wa kahani mukuu Anasi na kayafa, neno la Mungu ilikuya kwa Yoane mtoto wa Zakaria, ndani ya Jangwa.

1
03/03.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 3 Ali kuwa na tombeya mu ma mi ngini ya kari buni na baari ya Yeroni, na ku wubiri ubatizo na kutubu ju ya mu sama wa zambi.

1
03/04.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 4 Vile imea ndikwa ndani ya kitabu wa nabii Isaya, «sawiti ya mwenye iko na lalamika mu ja ngwa». Tengeneza njiya ya bwa nya, na nui nyoroshe njiya yake.

1
03/05.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 5 Bonde yote ita ya zwa, na bilima yote na kilima ita kwa a imelalisha chini, na ma njiya mu baya ita kuwa ime nyorosha kabisa, na njiya mubaya ita palu liya! \v 6 Na batu bote bata ona okovu wa Mungu.

1
03/07.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 7 Njo mana Yoane alikuwa na sema na makutano bali kuwa natoka ju ba batizawe na yeye, « Niye kizazi ya nyoka! nani ana ba fundisha ku kimbiya bisirani ina kuya?

1
03/08.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 8 Mu zale matu nda muzuri ya kutubu na musiende kusema ndani yenu, "Tuko na baba yetu Ibrahamu," Ju na ba mbiya kama Mungu iko na uweza ya kutowa kizazi ingine na batoto ku a Ibrahamu.

1
03/09.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 9 Shoka, ikotayari ju ya kukata mzizi ya muti njo mana kila muti ambae ayi toshe matunda ma zuri ita katiwa na kuitupa ku moto.

1
03/10.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 10 Kisha, batu wuliza Yoane, tu fanye nini? \v 11 Na aka ba jibiya na kusema, ule yote iko na nguo mbili atoshe moya na apatiye ule aana nguo, na ule iko na chakula afanye namuna.

1
03/12.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 12 Na baodhi ya kadi balikuya ju ba batiziwe, "Mwalimo" tu fanye nini? \v 13 Aka ba jibiya «Musikamate tena pesa mingi zahidi ya ile bana bambiya ju ya kopata».

1
03/14.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 14 Na baihari bengine bali muwaliza Bali muwuliza, « Na sisi, tu fnye nini?» Aka ba jibia musinyanga nye pesa kwa mtu, na nguvu, no te na mu si « Danganiye mtu na neno ya bongo. Mufurahi na malipo yenu».

1
03/15.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 15 Vile batu balikuwa na chunga kukula ya Kristo na bugonjwa, bote bali kuwa na jiwuliza ndani ya ma roho kwa aji ya Yoane yeye niKristo. \v 16 Yoane aliba jubiya na kusema, «Miye nina ba batiza na maji lakini kuko mtu anakuya, iko na nguvu zahidi na miye na miye si na ata uwezo ya ku fungula kamba ya bilao yake, ata ba batiza na roho mulaka tifu na moto.

1
03/17.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 17 Na ku mikono yake iko na pepeto ju ya kutasha bu chafu yote na kupepeteya ngono na kui kusa nya ngono fasi moya gala yake. Lakini na jani yote ata yitia mote na kuhiluanguza na ile moto ayiku fake.

1
03/18.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 18 Tena na maonyo mingi, Yaone ali ubiri neno la Mungu Habari njema. \v 19 Wakati Herode ali kemewa kwa Yoane ju ya ku wawa Herodia, bibi wa ndugu yake, na ma baya ingine pia Herode alikuwa na fanya. \v 20 Na aliongeza ibi mu ma baya yake, ali funga Yoane mu gereza.

1
03/21.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 21 Kisha ikafika, wakati batu balibatiziwa, na Yesu pia alibatiziwa. Na wakati aliomba, mbinguni ikafulika. Na roho mutakatifu alishuka yulu yake kama njiwa. \v 22 Na sawiti ilikuya toka mbinguni, «Weye ni mtoto wangu mupenwa, ndani yako niko na furaha»

1
03/23.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 23 Wakati Yesu alianza kazi yake, alikuwa na mwako karibuni tatu. Alikuwa (vile balikuwa bana waziya) mtoto wa Yusufu, mtoto wa Eli; \v 24 Mtoto wa Matatia, mtoto wa Lawi, mtoto wa Melki, mtoto wa Yana, mtoto wa Yusufu.

1
03/25.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 25 Mtoto wa Matatia, mtoto wa Amosi, mtoto wa Nahumu, mtoto wa Esli, mtoto wa Nagai. \v 26 Mtoto wa Maati, mtoto wa Semeini, mtoto wa Yusufu, mtoto wa Yuda.

1
03/27.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 27 Mtoto wa Yoanani, mtoto wa Resa, mtoto wa Serubali, mtoto wa Shealteli, mtoto wa Neri. \v 28 Mtoto wa Melki, mtoto wa Adi, mtoto wa Kosamu, mtoto wa Elmadamu, mtoto wa Eri. \v 29 Mtoto wa Yose, mwana wa Eliezeri, mtoto wa Yarimu, mtoto wa Matathi, mtoto wa Lawi,

1
03/30.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 30 Mtoto wa Simeoni, mtoto wa Yada, mtoto wa Yusufu, mtoto wa Yonamu, mtoto wa Eliyakim. \v 31 Mtoto wa Melea, mtoto wa Mena, mtoto wa Matha, mtoto wa Nathani, mtoto wa Daudi. \v 32 Mtoto wa Yese, mtoto wa Obedi, mtoto wa Boazi, mtoto wa Salomoni, mtoto wa Nashoni.

1
03/33.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 33 Mtoto wa Abinadabu, mtoto wa Aamu, mtoto wa Hersoni, mtoto wa Persi, mtoto wa Yuda. \v 34 Mtoto wa Yakobo, mtoto wa Isaka, mtot wa Ibrahimu, mtoto wa Tera, mtoto wa Nahori. \v 35 Mtoto wa Seruig, mtoto wa Ragau, mtoto wa Peligi, mtoto wa Eberi, mtoto wa Nashari.

1
03/36.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 36 Mtoto wa Kenani, mtoto wa Arufaksadi, mtoto wa shema, mtoto wa Noa, mtoto wa Lameki. \v 37 Mtoto wa Metusaeli, mtoto wa Enoka, mtoto wa Yeredi, mtoto wa Mahaleli, mtoto wa Kenani. \v 38 Mtoto wa Enosi, mtoto wa Seti, mtoto wa Adamu, mtoto wa Mungu

1
03/title.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
Sura 3

1
08/01.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\c 8 \v 1 Kisha masiku kiloko, Yesu aka enda safari kupita ku mingini ya munene na ya kiloko, kwenda kubiri na ku itangaza habarinjema ya ufalme wa Mungu. Banafunzi yake bote bali eana bote kumi na mbili. \v 2 Na pale banamuke ba moya bale bali poneshewa ku magonjwa na ku mapepo muchafu: saw malia waku Magadala ule bali mutoshaka demona saba. \v 3 Na Yoane, bibi wa kuza, wakuchunga bitu bya mu nyumba ya Herodi, na suzana, na bengine bamingi. bali toshaka bitu byabo na kulisha Yesu na batu bake.

1
08/04.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 4 Wakati kikundi kili nenepa karibu naye, batu baku toka migini mbalimabali wakafika pale. Yesu akaleta mfumbo. \v 5 «Wakupanda mbeko aka anza kumwanga. Pale eko na mwanga mbeko, kipande moya ika angukia pembeni ya njia baka ikanyanga, na ba ndeke ba kaikula yote. \v 6 Kipande ingine ika anguka kwenye maibwe na kiloko tu ina ota na tena ina kauka juu pale pa maibwe palikosa bulongo na mai.

1
08/07.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 7 Mbeko ingine ika anguka katika mi iba. miti ya mi iba ika ota an kufunika ile mbeko. \v 8 Lakini ingine nayo ika anguka ku bulongo muzuri na ika zala matunda mara mia ku mwisho Yesu akalalamika na kesema «Wa masikiyo ile ya kusikia, asikiye».

1
08/09.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 9 Njo wana funzi wake waka mu uliza maana ya mfumbo hii. \v 10 Aka wa ambiya : «Kwe nu myenye, bane mipa kujuwa koma siri ya ufalme wa mungu, lakini ku bale benini, ni mfumbo tu juu, pa kwangaria, basi one kitu, pa kusikiya, bashi sikilize kitu.

1
08/11.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 11 Musikiye sasa ma ana ya ile mufano: mbeko ni neno la Mungu. \v 12 Ile ili angukia pembeni ya njia, ni bale bakusikiya neno sasa shetani kuya na kubeba ile neno iko ndani ya roho juu basi amini na basi weze ku okoka. \v 13 Tena, ile nayo ili anguka pa maibwe, ni bale bana pokeyaka neno na furaha pale beko na ihubiri, lakini bana kosa mizizi, bana iamini tu saa kiloko, kufika saa ya kujaribiwa, bana anguka na kucha.

1
08/14.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 14 Ile nayo ili angukia kati ya mi iba, ni bale ban sikiyika neno katika njia ya imani bana funikwa na mawazo ya mari na furaha ya dunia hii, na pale matunda yabo ha ifike muku ivya. \v 15 Na yenye kwangukiya pa bulongo muzuri, bana i chunga nguvu na ika zala matunda na kuvumilia mateso.

1
08/16.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 16 Hakuna mutu ana wakishaka tala aiweke chini ya kibakuli ao chini ya kitanda. Lakini bana iweka yulu yaka meza karefu juu yangaziye batu bote baone mwangaza. \v 17 Kwa mana, hakuna yenye kufichaka kitabakiya tu kufichama, hakuna ata siri ile itabakiya tu pasho ku vu mburika, na ku oneshwa jua kati. \v 18 Muweke akiri ku ibiniko nasema: Juu kwa ule ekona kitu batamu ongezea, lakini kwa ule hana, na ile kiloko eko nayo, bata mu nyanaganya yote.

1
08/19.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 19 Kisha ile, mama yake na banduku yake ba kafika. Habakuweza ku mu ona juu yakinkundi kinene. \v 20 Mujumbe aka mwmbiya: «Mama yako na ba nduku yako beko inje, banapenda mu onane». \v 21 Yesu akabajibu: «Mama yangu na banduku yangu, ni bale beko na sikiya neno la Mungu na ku itumikia»

1
08/22.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 22 Siku moya, Yesu akapanda mu mutumbwi na banafunzi yake. aka ba ambiya «Tuvuke twende ile ngambo ingine». Bakao ndoka na Yesu akalala. \v 23 Pale beko naenda pa mati pepo ya nguvu ikala musha mawimbiya nguvu na mutumbwi ika anza kuyala mayi, na baka kuya tu karibu bakufwe pamai.

1
08/24.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 24 Banafunzi yake Yesu, bakafika na kumulamusha na kisema naye: «Bwana mukubwa, Bwana mukubwa, tuna kufwa» pale analamuka aka fokeya ile pepo na kulamuka kwa mawimbi na byote bika kuwa kimya kabisa. \v 25 Kisha aka sema na bo « Imani yenu iko wapi?» baka sikia boka na kushangala, na ku ambiana uyu kwa uyu: «Ni nani uyu, ana leta oda na pepo na mai bina musikia na ku acha?»

1
08/26.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 26 Baka vuka na kufika ku inci ya ba Gerasini, na angaliana na inchi ya Galilea. \v 27 Pale tu ana shuka na kuweka mukulu chini, mutu moya wa mu ile mugini ali yala ba demona aka simama mbele yake. Ali kawa kapasho nguo na halale mu nyumba, pakamu ma tubari.

1
08/28.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 28 Pale ana ona Yesu akalalamika na kwa nguka mbele yake. Akasema tena na sauti ya nguvu asema «Ni nini katikati yako na miye Yesu, mtoto wa Mungu aliye juu zaidi? nakulomba, usini hangaishe». \v 29 Juu Yesu alianza ku ifukuza ile pepo muchafu itoke mwa ule mutu. Juu ali anza kulamuka mara na mara ata bana mu funga minyololo ao nkamba ingine, ao bana leta jamu kumu chunga, alia anza kukata minyololo na ma demona ita musukuma aende paka mu jangwa.

1
08/30.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 30 Kisha Yesu aka mu uliza : «Taya jina yako.» Yeye aka jibu «Mimi ni kundi ya vita». Juu bale ba demona ba mingi bali yala ndani yake. \v 31 Na baka anza kumulomba Yesu uruma, asibatupe mu njimu ya bafu.

1
08/32.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 32 Na pale karibu pali kuyaka nkundi munene ya ma ngulube. bali anza kubarisha pakirima pale. Ma demona baka mu lomba ebatume ata kati ya ba ngulube bale. Aka ba ichikiya. \v 33 Njo ba demona ba katoka mwake na kwingiya mu ma ngulube na ile nkundi yote ikajitupa mule mu mayiyi ile, na kufwa.

1
08/34.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 34 bale bachungaji bama ngulube bali ona hii mambo, baka kimbia na kwambia mugini yote kufika na kutu mifini tuloko vile mambo ili pita. \v 35 Batu mingi na bo ka kaenda pale ba one mambo kaeibu. Wakati balifika karibu na Yesu, na ku ona ule mutu ana isha kwikala ku mikulu ya Yesu na kuvwala ma nguo, na akiri yake sawa, bakasikia boka sana.

1
08/36.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 36 Bale bote onaka ile mambo ili pitaka, bali anza ku onesha ku bengine vile mutu wama demona ali pana. \v 37 Batu baile ngambo yote Gereseni baka mulomba Yesu ende ngambo ingine juu bali mushikiya Yesu boka. aka panda mu mutumbwi aende.

1
08/38.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 38 Ule mutu ali toshewa ma demona akamu lomba Yesu ende naye. Lakini Yesu aka mu rudisha aseme. \v 39 Rudia mu jamaa yako na uka ba ambiye bitu bikubwa ibi mungu anakufanisha. Mutu aka enda akatangaza katika mugini yote bitu Yesu alifanya juu yake.

1
08/40.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 40 Wakati Yesu ali rudiaka ngambo ya kule alitoka, batu mingi bana mupokelea, juu bali anza kumu ongelea. \v 41 Mutu anaitwa Yairo, mu muja kati ya biongozi ya sinagogi. Aka anguka ku mikulu ya Yesu na aka mubembelesha aende naye kwake. \v 42 Juu mutu yake mwana muke, moya tu alizal, wa myaka kumi na mbili, eko karibu na kufa pale Yesu eko na ende kule, kikundi kikamu zunguka.

1
08/43.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 43 kumbe mukundi muko mama moya wa magonjwa ya kutoka damutangia miaka kumi na mbili, feza yake yote ili isha ku bamunganga bote, asipate kupona. \v 44 Aka enda nyuma ya Yesu na aka bamba ku nchongo ya kanjoya Yesu, na paka pale, kutoka damu ika acha

1
08/45.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 45 Yesu aka uliza: «nani mwenye ana niweka mukono?» Batu bote baka bisha pale, njo Petro aka sema naye: «Mwalimu, kikundi kinazunguka ngambo na ngambo». \v 46 Lakini Yesu akasema «Mutu moya anani bamba kuma nguo juu minasikia nguvu ina nitoka».

1
08/47.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 47 Mwana muke ule akasikiya haya akashindwa kufichama, aka anza kutetemeka, aka anguka chini mbele ya Yesu, akasema mbele ya batu bote vile ali bamba ku kanjo ya Yesu na vile ali pona paka pale. \v 48 Kisha Yesu akasema naye: « Mtoto yangu mwna muke, imani inaku ponesha wende na salama»

1
08/49.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 49 Pale Yesu eko nasema il, mutu wakutoka kwa mukubwa wa sinagogi akasema : «Mtoto mwana muke wako anakufa. Umu ache mwalimu aende yake.» \v 50 Lakini pale Yesu alisikia ile aka mwambiya baba yake : «Usi sikiye boka kuwa tu na imana, na mtoto atapona.»

1
08/51.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 51 Pale balifika kule ku nyumba, alika taza batu bote kwingiya mu nyumba. Akaingiya paka na Petro, Yaone na Yakobo pamoya na baba na mama wa mtoto. \v 52 Bale bote bali kuwa ndani ya nyumba bali anza kuria na kulalamika juu ya mtoto. Lakini Yesu akasema «Mwache kuria, analala, asikufe.» \v 53 Baka cheka Yesu na kazarau juu bo bali ona mtoto vile anakufa.

1
08/54.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 54 Lakini Yesu aka mu bamba mtoto ku mukono na akamwita na sauti ya nguvu: «Mtoto yangu lamuka.» \v 55 Roho yake ikarudia, akasimama pale pale. Yesu aka ambiya bazazi bamupe mtoto chakula. \v 56 Bazazi yake bali shangala san lakini Yesu aka bacha oda basiseme na mutu ile maneno yote ili pita pale.

1
08/title.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
Sura 8

View File

@ -35,7 +35,8 @@
"translators": [
"Swahili 06",
"Swahili 07",
"Swahili 08"
"Swahili 08",
"Swahili 09"
],
"finished_chunks": [
"05-title",
@ -292,6 +293,104 @@
"12-39",
"12-41",
"12-45",
"12-49"
"12-49",
"01-title",
"01-01",
"01-05",
"01-08",
"01-11",
"01-14",
"01-16",
"01-18",
"01-21",
"01-24",
"01-26",
"01-30",
"01-34",
"01-36",
"01-39",
"01-42",
"01-46",
"01-48",
"01-50",
"01-52",
"01-54",
"01-56",
"01-59",
"01-62",
"01-64",
"01-67",
"01-69",
"01-72",
"01-76",
"01-78",
"01-80",
"02-title",
"02-01",
"02-04",
"02-06",
"02-08",
"02-10",
"02-13",
"02-15",
"02-17",
"02-21",
"02-22",
"02-25",
"02-27",
"02-30",
"02-33",
"02-36",
"02-39",
"02-41",
"02-45",
"02-48",
"02-51",
"03-title",
"03-01",
"03-03",
"03-04",
"03-05",
"03-07",
"03-08",
"03-09",
"03-10",
"03-12",
"03-14",
"03-15",
"03-17",
"03-18",
"03-21",
"03-23",
"03-25",
"03-27",
"03-30",
"03-33",
"03-36",
"08-title",
"08-01",
"08-04",
"08-07",
"08-09",
"08-11",
"08-14",
"08-16",
"08-19",
"08-22",
"08-24",
"08-26",
"08-28",
"08-30",
"08-32",
"08-34",
"08-36",
"08-38",
"08-40",
"08-43",
"08-45",
"08-47",
"08-49",
"08-51",
"08-54"
]
}