swc_jas_text_reg/02/10.txt

1 line
254 B
Plaintext

\v 10 Sbabu yeyote anaye heshimiya sheria yetu, lakini akianguka kidogo ana haribisha sheria yote, ana pashwa ku hukumiwa. \v 11 Sababu nani alisema: «Hauta fanya busharati» aka sema tena «Hauta uwa» kama hausharatike lakini una uwa, una vuja sheria.