swc_jas_text_reg/02/01.txt

1 line
493 B
Plaintext

\c 2 \v 1 Wa ndugu musi changanisha amani ya Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu na ubaguzi ya batu bengine. \v 2 Kwa mufano muku ani ingiya ndani ya nkuardi yenu ana vala kikomo ya oa na manguo muzuri, na maskini ana ingiya na manguo ya buchafu. \v 3 Kama una angaliya ule ana vala manguwo muzuri na kusema: samani, ikala kwa iyi fasi ya heshima! Lakini una ambiya maskini: weye, simama pale, ao «Ikalala ku mangula yangu» \v 4 Ha ufanye ubagizi we peke? Ha mukuwe na kabula na mawazo yenu?