swc_gal_text_reg/05/19.txt

1 line
277 B
Plaintext

\v 19 Sasa kazi za mwili zina julekana njo hizi: «Kutongaze banamke», buchafu busharati. \v 20 Kuabudu sanamu, bulozi uadui, mabishano, wivu, kuto sikilizana upinzani, magawanyiko, mazehebu ki shetani. \v 21 Tamaa, bulevi, kukula bila kiasi, na bingine bya kufanana na byo.