swc_gal_text_reg/05/13.txt

1 line
352 B
Plaintext

\v 13 Sababu Mungu ali baita muishi na uhuru lakini, ile uhuru isiba sukume kuishi kimwili. Lakini musaidiane nyie kunyie katika mapendo. \v 14 Sababu sheria yote ina timilika ndani ya neno maja na njo hii: «Uta penda jirani yako kama vile unaji penda wepeke». \v 15 Lakini muki kutano na ku umizana, mufanye angalisho musi vinjane huyu kwa mwenzake.