swc_gal_text_reg/04/17.txt

1 line
280 B
Plaintext

\v 17 Kuko batu benye ban ji oneshaka sa ban ba penda nyie kusudi baba pore byenu lakini haiko mapendo ya kweli njo bako nayo kwenyu. \v 18 Bana taka tu batutenge mie na nyie kusudi mu ba fuata. Kitu ya maana sana muji kaze kushugulika na sababu nzuri haiko tu kama niko na nyie.