swc_gal_text_reg/04/08.txt

1 line
297 B
Plaintext

\v 8 Lakini ile wakati hamuku kua na mu jua Mungu, muli kuaka sawa batumwa ba miungu ya bongo. \v 9 Lakini sasa gisi muna kuesha ku jua Mungu, wala ni sema tu:ivi mulisha mu jua Mungu, ju ya nini mutarudia tena kusikiliza ma hadisi na ma kanuni za misingi ya kudunia? muna taka tena kuwa watumwa?