swc_gal_text_reg/03/27.txt

1 line
307 B
Plaintext

\v 27 Bate be nye bali batiziwaka katika jina la Kristo bana kua sura yake, hakuna tena tafauti kati ya batu . \v 28 Ukabila haipashwe tena kuoneka na ndani Yesu, Mukubwa wala Mudogo, Mwanaume na mwanu muke, sababu muko umoja ndani ya Kristo. \v 29 Kama muko batu ya Kristo, ni kusema muko rizi ile ahadi.