swc_gal_text_reg/03/15.txt

1 line
298 B
Plaintext

\v 15 Wandugu, nina sena sema kama mutu sawa vile pia mapatano yenye ili wekwa na batu, halaina mutu mwenye ana weza kutosha wala kuongaye ahadiza Mungu. \v 16 Sasa ahadi ilipatitiwa Abrahamuna kizazi yake« Mungu hakusema kwa vizazi, tusizame ju ya batu yote lakini Muzaliwa moja ndie Yesu-Kristo.