swc_gal_text_reg/02/09.txt

1 line
308 B
Plaintext

\v 9 Wakati bali tambua kama niko na neema ya Mungu, Yakobo, Petro na Yohane, benye balikua biongozi waka tupatia mukono wa kuume mie na Barnaba kama alama yakutukubala kusudi twende kwa wapagani kuhubiri; nababakie kuhubiri bayahidi. \v 10 Baka tu ambia lukumbuke na wa wakosefu na njo ilikua niayangu sana.