swc_gal_text_reg/01/21.txt

1 line
367 B
Plaintext

\v 21 Kisha nilienda mu majumbo za suria na silisia. \v 22 Makaniso za Bwana zenye zili kua kule Yudea hazi kuniju. \v 23 Balikwa na ni sitia kwa jina tu na byenye nilikuwaka na fanya baka kua na shangala, na kusema, ule mwenye alikuaka na tu tesa ju ya enjili, ye peke ana hubiri ile imani ye nye alikuaka na tafuta kuzuiya. \v 24 Maka nisa zilikua na shukuru Mungu.