\v 3 Sababu mutu akijitia yulu na haiko kitu ana ji danganya ye peke. \v 4 Kila mutu achunguze ye peke njo apate gisi ya ku ji teteo bila ku ji linganisha na mutu mwengine. \v 5 Kwa sababu kila mutu ata beba muzigo yake ye mwenyewe.