\v 5 Kupitia roho takatifu, kwa imani tuna ngoya haki ya kweli. \v 6 Ndani ya Yesu kuwa mwahili ao mungala haina naana. Hamuishi tena ndani ya sheria. \v 7 Mulikua na endelea muzuri. Nani ali bazuia kuheshimia ile kweli? \v 8 Kufanya vile haitokane na mwenye alibaitaka.