Thu Feb 27 2020 07:50:27 GMT-0500 (EST)
This commit is contained in:
commit
ea6407023e
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\c 4 \v 1 Nasema hui kama murizi angali mtoto, iko tu sawa mutu mwa hata kama, ye njo mwenye bitu. \v 2 Lakini uta muona angali na ongozwa na batu mishi ya babayake mpaka muda yenye Baba ye peke ali mupangia ka ifuke.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 3 Na shie pia wakati tulikua batoto katika imani tu kuwa chini ya ukoloni ya maibada za sanamuza kidunia. \v 4 Lakini ili mudo Mungu alikuaka ame pangilia ikafika, aka tuma mtoto yake, akazaliwa na mwana muke chini ya ile sheria. \v 5 Alifanya vile kusudi akombea bote benye balikua chini ya ile sheria pia kusudi tu ishi uhuru ya kukubaliwa saw watoto yake.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 6 Kwa sababu muko wana, Mungu alituma roho ya mtoto yake katika mioyo yetu yenye kuita «Baba». \v 7 Kwa juu ya ile hamuko tena watumwa la kini batoto, na kama muko batoto yake muko pia barizi kupitia Mungu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 8 Lakini ile wakati hamuku kua na mu jua Mungu, muli kuaka sawa batumwa ba miungu ya bongo. \v 9 Lakini sasa gisi muna kuesha ku jua Mungu, wala ni sema tu:ivi mulisha mu jua Mungu, ju ya nini mutarudia tena kusikiliza ma hadisi na ma kanuni za misingi ya kudunia? muna taka tena kuwa watumwa?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 10 Mungali muna heshimu ma siku kuu, mia ndamo ya myezi, ma jira na myaka. \v 11 Niko na ogopa kwamba kazi nilifanya kwenyo iri kue ya bure.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 12 Nina ba bembeleza bandugu, mukue sawa miye, ju na mie nilishaka kua sasa na nyie. Hamuku ni tendeaka kibaya. \v 13 Lakini mukumbuke kama ya mara kwanza nili ba hubiriaka habari njema nili kua na hali mbaya ya mwili yangu. \v 14 Hata kama hali ya bulemo bwangu ilikua ya kukwaza batu hamu kunizarau wa kunitupiliaa, lakini muli ni pokea na furaha sa malaika wa Mungu, sawa vile munge ona Kristo ye peke.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 15 Mbone munataka poteza baraka zenu? kwa ju minashu hudiaka kama ile wakati ju ya kunipenda, munge ni patiaka yote ya muhimu muna ji nyima. \v 16 Sasa leo muna nichukia na kuni kamata kama adui sababu nina wa ambia ukweli?
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 17 Kuko batu benye ban ji oneshaka sa ban ba penda nyie kusudi baba pore byenu lakini haiko mapendo ya kweli njo bako nayo kwenyu. \v 18 Bana taka tu batutenge mie na nyie kusudi mu ba fuata. Kitu ya maana sana muji kaze kushugulika na sababu nzuri haiko tu kama niko na nyie.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 19 Batoto yangu badogo ju yenu ningali na maumivu sawa mwana muke wa mimba mwenye anataka kuzala, mpaka wakati Kristo Yesu ata tawala maisha yenu. \v 20 Ninge penda nikue kule pamoja na nyie hii wakati kusudi nitulizane sababu roho yangu iko yulu yulu ju yenu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 21 Nyee benye mungali muna ji bandika bandika mu ma sheria nu ni ambie hamu sikiake gisi sheria ina sema? \v 22 Kwa sababu mandi ko ina sema, Abrahamu ali kuaka na batoto mbili, mu moja mu bukaramusi ye na mwna mke muja kazi, na mwengine wa mwanamke halali. \v 23 Mwenye ali zali waka na mu ja kazi alikua waki mwili lakini mtoto wa mwnamke halali njo ali kua mtoto wa ahadi.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 24 Ile bitu tuna weza basiria wazi wazi sababu, aba bana muke bawili, ni mufano ya agano mbili, yenye kitoka kwa mulima sinasi ina zala batoto watu mwa, ni agari. \v 25 Ina fananishiwa na Yerusalemu ya leo sababu batoto yake bako batumwa saw bale batoto ya agari kule ku baharabu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 26 Lakini Yerusalemu ya juu kwa Mungu ni mu ji wa uhuru, na njo mama yetu. \v 27 Inaandi kwa ufaruhi weye mwanamke mwenye hauzalake, upige bigelegel weye mwenye hauya enda kunyu nyumba ya ku zalishia, sababu batoto ba mwanamke mwenye ule mwenye iko ku bunyumba.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 28 Sasa nyie ndugu, muko batoto ya ahadi sawa na Isaka. \v 29 Ile wakati mtoto wa muja kazi alitesa mtoto wa ule halali, njo gisi biko leo, batoto ya shetani biko na tesa batoto ya Mungu
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 30 Mandiko ina sema nini? «Fukuza muja kazi na mtoto yake, sababu mtoto ya mu ja kazi hawezi rizi pamo. \v 31 Bandugu, shiye hatuna batoto ya mutumwa, lakini tuko watoto ya bibi mwenye bukweri
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
Sura
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\c 5 \v 1 Kristo ali fungula kusudi tukue na uhuru ju ya ilemusimame imara, na musi itike tena kubakia chini ya utumwa. \v 2 Miye Paulo nani wa ambia hii: Mukiji irimia kua batoto ya Abrahamu, Kristo ata kua hana mafaa kwenu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 3 Tena mara ingine mina sema hivi kila mutu mwenye ana ji irinia kua muyuali akubali kua chini ya sheria. \v 4 Nyi bote benye muna zingatia sheria, muna ji tenga na neema.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 5 Kupitia roho takatifu, kwa imani tuna ngoya haki ya kweli. \v 6 Ndani ya Yesu kuwa mwahili ao mungala haina naana. Hamuishi tena ndani ya sheria. \v 7 Mulikua na endelea muzuri. Nani ali bazuia kuheshimia ile kweli? \v 8 Kufanya vile haitokane na mwenye alibaitaka.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 9 Mbegu ndongo ya chachu, ina vimbisha unga. \v 10 Gisi mina ba tumaima katika Bwana kwa leo, hamuta anaka mwengine wa wile. Mwenye iko na ba changa ngikisha hata akue nani, ata pataka azabu kali.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 11 Wandugu, kama niki hubiri tena sheria nilitesekeaka ju ya nini sasa? Nikusema kikwazo ya musalaba inatoka ! \v 12 Nata nani bale benye kuba danganya, batoshwe mu nyie.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 13 Sababu Mungu ali baita muishi na uhuru lakini, ile uhuru isiba sukume kuishi kimwili. Lakini musaidiane nyie kunyie katika mapendo. \v 14 Sababu sheria yote ina timilika ndani ya neno maja na njo hii: «Uta penda jirani yako kama vile unaji penda wepeke». \v 15 Lakini muki kutano na ku umizana, mufanye angalisho musi vinjane huyu kwa mwenzake.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 16 nina sema, mutembee kwa roho na hamuta timiza tamaa ya mwili yenu. \v 17 Kwa sababu tamaa ya mwili ina piganisha roho sana. Na imwili na roho bina pinganaka sana. Matokeo yake ni kuona hamufanye bizuri byenye muli hita ji kufanya. \v 18 Lakini kama roho ana ba ongozi hamuko chini ya sheria
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 19 Sasa kazi za mwili zina julekana njo hizi: «Kutongaze banamke», buchafu busharati. \v 20 Kuabudu sanamu, bulozi uadui, mabishano, wivu, kuto sikilizana upinzani, magawanyiko, mazehebu ki shetani. \v 21 Tamaa, bulevi, kukula bila kiasi, na bingine bya kufanana na byo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 22 Lakini kazi za roho ni: mapendo, furaha amani, kuvumulia, kua mwema, burafiki bwa kweli bila unafika, imani. \v 23 Upole na ku ji zuiza. Ju ya ile yote hakuna hukumu. \v 24 Bote benye kua batu ya Kristo bali sulubisha mwili ya bo na tamaa na shuguli zake zote.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 25 Kama tuna ishi kwa roho, tulembee kwa roho. \v 26 Tusi kue ba hovyo kwa kuchokozana ao kukia na tamaa shie kwa shie.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
Sura 5
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\c 6 \v 1 Wa ndugu kama mutu kamatua na kosa, nyie benye muko kiroho mumuonye kwa upole, na mukeshe sana nyie benyewe musi jaribiwe. \v 2 Musaidiane ku mizigo nyie kwanyie, ile njo kutimiza sheria ya Yesu Kristo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 3 Sababu mutu akijitia yulu na haiko kitu ana ji danganya ye peke. \v 4 Kila mutu achunguze ye peke njo apate gisi ya ku ji teteo bila ku ji linganisha na mutu mwengine. \v 5 Kwa sababu kila mutu ata beba muzigo yake ye mwenyewe.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 6 Mwenye ana fundishiwa habari njema ana pashwa kugawanya bizuri byote na mwenye alifundisha. \v 7 Mu si danganyike, habachezake na Mungu, kila kienye mutu alipanda, ata ki vuna. \v 8 Kwa sababu mutu akipima kupanda mbegu kupitia hali yake ya zambi, ata vuna bya kuoza. Lakini mutu akipanda mbegu ju ya roho, ata vuna uzima wa roho ya milele.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 9 Tusiache ku fanya mema, sababu wakati ita fika tuta vuna kama hatu ku regea moyo. \v 10 Hivi sasa kama tungali na «Ka wakati» tufanye mema ku batu zaidi ku ba ndugu ya imani.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 11 Muna ona barua kabambi mina ba andikia. \v 12 Benye ban ataka ku ji sumbua kutu mikia mwili ban basu basu kuma mu tahiriwe, kusudu tu baripate mateso ya musalaba wa Yesu Kristo. \v 13 Sababu hata bale benye ba na jiita bana sheria, haba timize sheria yote, lakini bana penda na nye mufuate sheria ya bo kusudi ba ji sifie ju ya mwili yenu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 14 Ipite mbali nimie kuji sifia kama haiko kwa ajili ya musalaba ya Yesu Kristo Bwana. Nikupitia muslaba njo ulimwengu ili kubali ku tundi kwa ju yangu na mie ju yao. \v 15 Kwa sababu kutahiriwa, wala ku sipo tahiriwa haina maana, ya muhimu ni ku zaliwa upia. \v 16 Bote benye bata shika hii sheria yenye mina hundisha, amani na rehema bikue kweke na kwa Israeli ya Mungu
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
\v 17 Tangu leo, mutu asi ni sumbue sababu mina beba alama ya Yesu ndani ya mwili yangu. \v 18 Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe ndani ya roho zenu wa ndgu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
||||||
|
Sura 6
|
|
@ -34,7 +34,8 @@
|
||||||
"parent_draft": {},
|
"parent_draft": {},
|
||||||
"translators": [
|
"translators": [
|
||||||
"Swahili 06",
|
"Swahili 06",
|
||||||
"Swahili 07"
|
"Swahili 07",
|
||||||
|
"Swahili 09"
|
||||||
],
|
],
|
||||||
"finished_chunks": [
|
"finished_chunks": [
|
||||||
"front-title",
|
"front-title",
|
||||||
|
@ -57,6 +58,39 @@
|
||||||
"02-13",
|
"02-13",
|
||||||
"02-15",
|
"02-15",
|
||||||
"02-17",
|
"02-17",
|
||||||
"02-20"
|
"02-20",
|
||||||
|
"04-title",
|
||||||
|
"04-01",
|
||||||
|
"04-03",
|
||||||
|
"04-06",
|
||||||
|
"04-08",
|
||||||
|
"04-10",
|
||||||
|
"04-12",
|
||||||
|
"04-15",
|
||||||
|
"04-17",
|
||||||
|
"04-19",
|
||||||
|
"04-21",
|
||||||
|
"04-24",
|
||||||
|
"04-26",
|
||||||
|
"04-28",
|
||||||
|
"04-30",
|
||||||
|
"05-title",
|
||||||
|
"05-01",
|
||||||
|
"05-03",
|
||||||
|
"05-05",
|
||||||
|
"05-09",
|
||||||
|
"05-11",
|
||||||
|
"05-13",
|
||||||
|
"05-16",
|
||||||
|
"05-19",
|
||||||
|
"05-22",
|
||||||
|
"05-25",
|
||||||
|
"06-01",
|
||||||
|
"06-03",
|
||||||
|
"06-06",
|
||||||
|
"06-09",
|
||||||
|
"06-11",
|
||||||
|
"06-14",
|
||||||
|
"06-17"
|
||||||
]
|
]
|
||||||
}
|
}
|
Loading…
Reference in New Issue