swc_gal_text_reg/02/06.txt

1 line
274 B
Plaintext
Raw Normal View History

Lakini benye batu bote balikua naita biongozi habaku ni saidia na kitu, gisi banaishi faida kwangu. Mungu hana upendeleo. Balitambua Mungu alinita nitangazi habari njena kwa wapagani kama vile Petro aliituwaka kuhubiri wa yahudi walio tahiriwa, kwa sababu Mungu mwenye alitu