swc_eph_text_reg_Uncomplete/06/19.txt

1 line
241 B
Plaintext

\v 19 Na muni ombee na mie kusudi Mungu anipatie neno kama mina simama kufundisha habari jemo. \v 20 Ni ju ya habari njema njo niko muakilishi wa Yesu mwa hii mateso kusudi ni se ni hubirie mu shida sawa vile ni geli hubiri wakali niko huru.