swc_eph_text_reg_Uncomplete/06/12.txt

1 line
355 B
Plaintext

\v 12 Sababu hatu piganishe banadamu kwa makofi wala mikuki, lakini tu na piganisha bakubwa ya mapepo, na batowa ba nguvu za giza, mapepo wa baya benye kuishi katika anga. \v 13 Kwa ile muka mate bifao ya vita ya kiroho bya kutoka kwa Mungu kusudi muweze kupinga mabaya yote mwa izi siku za mubaya tuko amo kama muna maliza kufanya vile muta simana imara.