swc_eph_text_reg_Uncomplete/06/05.txt

1 line
641 B
Plaintext

\v 5 Ba huku mu dunia, mubaheshimie nakuji shusha, mukue wazi muroho zenyu, muba heshimie sawa vile muna weza heshimia Mukubwa Mupakaliwa Yesu njo basi ba fukuze mu kazi. \v 6 Musi kue batu mishi ya macho benye bana fanyaka moziru tu kama mwenye kazi iko pale na akisha enda bana fanya bingine bale njo tu naita banafiki, banatu mikoka kwa kujipendeza; lakini lakini mukue na heshima sawa ba tumishi ba Yesu Mupaka liwa wa Mungu. \v 7 Mutu mike na roho zenu zote swa benye bana tumikua Mukubwa Yesu lakini isi kue sa tuko ko na tumikia batu. \v 8 Mujue ka kila kazi nzuri mutu ana fanyaka akue mutiimishi wala mwenye nyumba Mungu ana lipaka.