swc_eph_text_reg_Uncomplete/06/01.txt

1 line
252 B
Plaintext

\c 6 \v 1 Batoto, muheshimie bazazi yenu, njo vile Mukubwa Yesu ana sema sababu ile ni kweli. \v 2 «Heshimia Baba yako na Mama yako,» njo amri ya kwanza yenye ina fuatta nishwa na ahadi. \v 3 Kusudi maisha yako ikue murefu na ubarikiwe hapa mu dunia.