swc_eph_text_reg_Uncomplete/04/25.txt

1 line
310 B
Plaintext

\v 25 Hivi sasa muji epushe na kila magendo «Muambianake ukweli » kila mutu kwa mwenzake kwa sababu hakuna mwenye kuji falia ye peke, kila mutu iko wa maana kwa mwenzake. \v 26 Ina wezekana muna weza ku sirika lakini musi bakie na kisi rani mpaka ma paribi ita kua zambi. \v 27 Musi hingulie shetani mulango.