swc_eph_text_reg_Uncomplete/04/17.txt

1 line
428 B
Plaintext

\v 17 Hivi minasema bile byote na mina waomba ndani ya mukubwa Yesu kama: Hamu wezi tena kutembea mu bya bure bure sawa bapagani benye bana tembeaka na mawazo yabo ya hovyo. \v 18 Bako na mawazo ya giza. Bana changanyikiwa na haba jikute mu maisha ya ki Mungu ju ya bujinga yenye ina endelea kwa ndani yabo kutokana na roho zabo ngumu. \v 19 Haba sikiake haya bali ji achiliaka kubebwa na ta ma za buchafu, ka ku pitisha kipimo.