swc_eph_text_reg_Uncomplete/04/14.txt

1 line
494 B
Plaintext

\v 14 Ile yo ni kusudi tusi kue tena sawa batoto kidogo. Tena tusi bakie batu ba yumba-yumba uku na kule, na tusi kue na bebewa na kila mewa ya mafundisho ya bongo, wa buyuwayi ya batu benye ba na ji fichika mu budanganyifu. \v 15 Kinyume na ile tuta sema kweli ka tika mapendo, na tuta komala lote kipitia Yesu munye iko kichwa. \v 16 Mupakaliwa Yesu ana kusanya ba Kristo bote pamoja an ba fanya mwili moja. Ali unganisha kanisa lakini kila kiungokwa fasi yake kusudi likomale katika mapendo.