swc_eph_text_reg_Uncomplete/01/19.txt

1 line
490 B
Plaintext

\v 19 Na mu maombi yangu na takaka mu jue bunene ya munu yenye haina kipimo na nguvu zake ndani yetu shie benye tu na muamini kufuatana na kazi kubwa na tendo ya ngufu zake. \v 20 Ni ile uwezo njo Mungu alitumikisha kusudi afufue Yesu na ku muikalisha ku mukono yake ya kuume kule mbinguni. \v 21 Alikalisha mupakaliwa Yesu juu ya bakubwa bote ju ya batu bote benye kuwa na uwezo, na kila ingine majina yote. Mupokaliwa Yesu ata kuwa kiongozi wa bakubwa bote leo na siku zenye zina ya kuya.