swc_eph_text_reg_Uncomplete/01/11.txt

1 line
301 B
Plaintext

\v 11 Ndani ya Yesu tuli fanyika wato wala. Ile, Mungu ali amua kwanza ju yetu katika mupango yake ana fanyaka byote kufuatana na shabaha na mapenzi yake. \v 12 Mungu ali tuta ja waata wala kusudi tupate tumaini yaku kaza ndani ya mupakaliwa wake Yesu. Juu yetu njo sifa na utukufu yake bina kamilika.