swc_eph_text_reg/06/14.txt

1 line
250 B
Plaintext

\v 14 Kwa vile musimame na ngufu, mu vale mukaba ya ukueli, haki iwe ukingo yenu. \v 15 Mu vale enjili ya kweli kama biato. \v 16 Katika mambo yote mukamate imani ikwe kikingio yenu ile njo ina weze basaidia ku zimisho misha le ye ule mjanja shetani.