swc_eph_text_reg/06/10.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 10 Kwa mwisho, mujipatie moyo ndani ya Bwana mukubwa kwa nguvu zake kubwa. \v 11 Mukamate bifaa byote bya vita ya kiroho kusudi mu weze ku shimama imara bila kufuata bu janja ya ule shetani.