swc_eph_text_reg/05/18.txt

1 line
366 B
Plaintext

\v 18 Musilewe divai kwa maana inaleta upotovu, lakini mujazwe na Roho. \v 19 Munapoongea, museme maneno ya zaburi, mumusifu Bwana na kumwabudu kwa nyimbo za kiroho. Mumwimbie na kumushangilia kwa moyo wenu wote. \v 20 Mumushukuru Mungu Baba siku zote kwa kila jambo, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo. \v 21 Mukuwe na utii ninyi kwa ninyi kwa kumuheshimu Kristo.