swc_eph_text_reg/05/15.txt

1 line
233 B
Plaintext

\v 15 Muangalie vizuri mwenendo wenu. Musiishi kama wajinga lakini muishi kama wenye hekima. \v 16 Mutumie vema wakati huu munaokuwa nao kwa maana siku hizi ni mbaya. \v 17 Kwa hiyo musikuwe wajinga, lakini mutambue mapenzi ya Bwana.