swc_eph_text_reg/05/01.txt

1 line
259 B
Plaintext

\c 5 \v 1 Mufuate tabia ya Mungu kwa maana ninyi ni watoto wake wapendwa. \v 2 Muishi katika upendo kama vile Kristo alivyotupenda na kutoa maisha yake kwa ajili yetu kama vile matoleo na sadaka ya kuteketezwa kwa moto yenye harufu nzuri inayomupendeza Mungu.