swc_eph_text_reg/04/28.txt

1 line
390 B
Plaintext

\v 28 Tangu sasa ba mwizi baache bwizi lakini bakue na tumika kusudi apate chakula na yoye ya mahitaji yake na asaidie bengine benye bi ko na mahitaji. \v 29 Masemi ya mubaya isitokake mu kinywa yenu lakini maneno yenu ikue ya maana kwa ku falia benye kuisikiliza. \v 30 Zaidi sana musi huzuni kishe roho mweupe wa Mungu. Ju yake njo muli tiliwa muhuri kwa ajili ya siku ya siku ya ufufuko.