swc_eph_text_reg/04/11.txt

1 line
467 B
Plaintext

\v 11 Mupakaliwa wa Mungu, ali gabulaka ma kazi hivi: Bengine mitume, bengine ma nabii, bengeni batanga zaji ba enjili, bngine ba chungaje na balimu. \v 12 Ali fanya vile kusudi apati batu kazi kila mutu kulingana na huduma yake, kusudi mwili wa Yesu mupakaliwa njo banaita manisa ijengwe muzuri. \v 13 Iko na fanya vile mpaka tufikie kuwa umoja katika imani na tujue mtoto wa Munga, na shabaha yake ni kutu komalisha sawa benye bana likia kiwangocha mupakaliwa Yesu.