swc_eph_text_reg/04/09.txt

1 line
262 B
Plaintext

\v 9 Sasa kusema "Ali panda" ina manisha nini na tena aseme ali teremukaka chini sana ndani ya bulongo? \v 10 Yesu njo aliitikaka kuzaraulika akakufa kifo ya mubaya, na ye njo ali panda sasa aka pata chejo kushinda bote ali fanyaka vile kusudi atimize bitu yote.