swc_eph_text_reg/04/01.txt

1 line
317 B
Plaintext

\c 4 \v 1 Ivi mie mufungwa ju ya evi jili ya mukubwa Yesu, nina waamba, kila mutu afanye kazi yake yenye Mungu ali muitiaka. \v 2 Kuweza kutu mika ile kazi inafa kujishusha, kwa mupole, na muvumulivu. Kama kuko mwenye ikona kilema fulani, mu mu vimilie ju ya mapendo. \v 3 Mu patiane amani njo muta chunga umoja wenu.