swc_eph_text_reg/02/01.txt

1 line
358 B
Plaintext

\c 2 \v 1 Nzamani mlikuwa sa bafu ju ya makosa yenu na zambi. \v 2 Mliku wa muki echimiya mfalme wa duniya iyi, roho wa mapepo, muchafu alikuya katika duni ga yote muzima ju ya kushiduisha batu kuyuwa Mungu. \v 3 Aina pakamueye shinbote tuli ku wa bakose hi, nakutenda mabaya kufatana na mapenzi ya miili yetu tuliku wa chini ya kasirani, kama mokabila yote.