diff --git a/05/25.txt b/05/25.txt index 036015d..f9128d3 100644 --- a/05/25.txt +++ b/05/25.txt @@ -1 +1 @@ -Nanyi waume muwapende wake wenu sawa vile Kristo alivyopenda kanisa na kutoa uzima wake kwa ajili yake. 26 Alifanya hivi kusudi atakase kanisa kwa ajili ya Mungu, akilisafisha kwa maji na kwa neno. 27 Alitaka hivi kujipatia yeye mwenyewe kanisa tukufu na takatifu, lisilokuwa na taka wala kikunjo wala kilema chochote. \ No newline at end of file +\v 25 Nanyi waume muwapende wake wenu sawa vile Kristo alivyopenda kanisa na kutoa uzima wake kwa ajili yake. \v 26 Alifanya hivi kusudi atakase kanisa kwa ajili ya Mungu, akilisafisha kwa maji na kwa neno. \v 27 Alitaka hivi kujipatia yeye mwenyewe kanisa tukufu na takatifu, lisilokuwa na taka wala kikunjo wala kilema chochote. \ No newline at end of file diff --git a/05/28.txt b/05/28.txt new file mode 100644 index 0000000..eca1b97 --- /dev/null +++ b/05/28.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 28 Hivi vilevile waume wanapaswa kupenda wake wao kama vile wanavyopenda miili yao wenyewe. Yule anayependa muke wake, anajipenda yeye mwenyewe. \v 29 Kwa maana hakuna mtu anayeweza kuchukia mwili wake mwenyewe, lakini anaukulisha na kuuchunga kama Kristo anavyotendea kanisa, \v 30 kwa sababu sisi ni viungo vya mwili wake. \ No newline at end of file diff --git a/05/31.txt b/05/31.txt new file mode 100644 index 0000000..edab751 --- /dev/null +++ b/05/31.txt @@ -0,0 +1 @@ + Ni sawasawa inavyosemwa katika Maandiko Matakatifu: «Kwa sababu hii, mume ataacha baba yake na mama yake na kuungana na muke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja.» 32 Ni vigumu sana kuelewa siri hii, lakini ninasema mambo yanayoelekea Kristo na kanisa. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 41ef439..8a30286 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -89,6 +89,8 @@ "05-15", "05-18", "05-22", + "05-25", + "05-28", "06-title", "06-01", "06-04",