Sun Oct 11 2020 19:48:06 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-11 19:48:07 +01:00
parent 2ef0cc490a
commit 12ebaaed4b
4 changed files with 5 additions and 1 deletions

View File

@ -1 +1 @@
\v 5 Mujue waziwazi kwamba mwasherati yeyote na mchafu na mwenye tamaa ya mali (mwenye tamaa ni kama mwenye kuabudu sanamu), hao wote hawatapewa sehemu ya urizi katika Ufalme wa Kristo na Mungu. 6 \v 6 Mtu asiwadanganye na maneno yasiyokuwa na maana; kwa sababu ya makosa kama hayo, Mungu anawaazibu kwa kasirani yake wale wasiomutii. 7 \v 7 Basi musishirikiane na watu kama wale.
\v 5 Mujue waziwazi kwamba mwasherati yeyote na mchafu na mwenye tamaa ya mali (mwenye tamaa ni kama mwenye kuabudu sanamu), hao wote hawatapewa sehemu ya urizi katika Ufalme wa Kristo na Mungu. \v 6 Mtu asiwadanganye na maneno yasiyokuwa na maana; kwa sababu ya makosa kama hayo, Mungu anawaazibu kwa kasirani yake wale wasiomutii. \v 7 Basi musishirikiane na watu kama wale.

1
05/08.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 8 Zamani muliishi katika giza, lakini sasa, kwa kuungana kwenu na Bwana, munaishi katika mwangaza. Muishi kama watoto wa mwangaza, \v 9 kwa maana matunda ya mwangaza ni wema wa kila namna, haki na ukweli. \v 10 Mujikaze kutambua mambo yanayomupendeza Bwana. \v 11 Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue. \v 12 (Kwa maana ni haya kusema juu ya mambo watu hao wanayofanya kwa siri.)

1
05/13.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 13 Lakini matendo yale yote yanapofunuliwa katika mwangaza, yanaonekana wazi. 14 \v 14 Kwa maana yote yanayoonekana wazi yanageuka mwangaza. Ni kwa hiyo inasemwa hivi: «Amuka wewe unayelala! Ufufuke kutoka kati ya wafu, naye Kristo atakuangazia.»

View File

@ -83,6 +83,8 @@
"05-title",
"05-01",
"05-03",
"05-05",
"05-08",
"06-title",
"06-01",
"06-04",