swc_col_text_reg_Uncomplete/02/20.txt

1 line
308 B
Plaintext

\v 20 Basi kama mulikufa na Kristo, kwa sababu ya zambi, kwa nini tena munarudida zambi: \v 21 « Musi itike wala, kupima, wala kuguza!» \v 22 Yote enye kutela ubaya, enye kuyala na fundisho mubaya, ya watu ya dunia. \v 23 Hii mafundisho inatu teswa kusudi tuteswe sana mwili yetu. Akuna ata faida kwa ile.