swc_col_text_reg_Uncomplete/03/12.txt

1 line
292 B
Plaintext

\v 12 Kama washanguliwa ya Mungu, wenye kupendeza Baba yao kwa matendo muzuri mukwe na uruma wenye kuji shusha, roho ya upelena wenyi uvu milivu. \v 13 Muvumiliane ninyi kwa ninyi, muskilie wengine uruma. musamee wengine kama vile wanaho wasamee. \v 14 Nawaomba mukuwe na mapendo, ndani yenu.