swc_col_text_reg_Uncomplete/03/05.txt

1 line
395 B
Plaintext

\v 5 Kwa ivi muashe maneno yote ya tamaa ya mwibi, kama mafundisho mubaya, mawazo mubaya tamaa, sanamu. \v 6 kwa sababu ya maneno kama hii kisharani ya Mungu inawaka juu ya, watoto wenye kukosa kusikiya. \v 7 Nyie pia vile vile mulitembea ivi zamni, wakati mulikwa vyana. \v 8 Basi sasa muache maneno yote ya zamani ndani yenu, kisirani chuki, ubuya, kutukana maneno yote uto che kwa kinyo yako.