swc_col_text_reg_Uncomplete/01/21.txt

1 line
450 B
Plaintext

\v 21 Zamani mulukua wageni kwa Mungu na wadui ya Mungu kwa akili mubaya na, matendo mubaya. \v 22 Sasa ana wapatanisha kupitia kufo kwake kupitia mwili yake anawafanya mukuwe watakatifu pasipo koja mbele yake. \v 23 Kama mukiishi kwa imani nakuji kaza muki dumu katika neno. Wala mutu asiwa danganye, mutiye tumaini yenu kwa baraka enye Mungu ana wetenge, kupita kupitia abari enye mulisikia. Kwa sababu mimi Paulo Mungu anani shagua kwa mtume wake.