swc_col_text_reg_Uncomplete/01/18.txt

1 line
393 B
Plaintext

\v 18 Yeye ni kisho ya kanisa na yeye njo wa kwanja kufufuka kutoka kwa wafu. Mwenye alikata madaraka ya kutawala kwa kila kitu yote. \v 19 Mungu alipenda kama utimilifi wake ujulikane ndani yake. \v 20 Ilipendeza Mungu kurudisha masikili zano ya watu na Mungu kupitia mwana wake. kwa damu iliomwangika kwa musalaba ikalate uhuru kutoka kwa utumwa ya zambi Mungu ali potanisha mbingu na dunia.