swc_col_text_reg_Uncomplete/02/10.txt

1 line
347 B
Plaintext

\v 10 Munajazwa na utkufu kwayeye, na yeye njo kisho ya kanisa. enye uwezo yote, na mamlaka yote. \v 11 Kwa yeye njo mulipata ruusa ya kukatiwakinaume. Apana ya mwili, lakinikukatwo ya kinaume KIROHO kwa Yesu peke yake apana ya mwili, lakini ya Roho. \v 12 Muli zikwa nae pamoja kwa njiya ubatizo, na mulifufuka nae kwa nguvu ya Mungu akamufufua.