swc_col_text_reg_Uncomplete/03/15.txt

1 line
308 B
Plaintext

\v 15 Salama ya YEsu iwe kwenu kwa sababu mulichaguliwa kusudi mwishi kwa ile amani. \v 16 Kwa eshima yote mudumu katika neno la Kristo kusudi mupate ufahamu na akili ya kufundisha, na kuonya wengine, na kujua kutukuza Mungu. \v 17 Kila maneno enye mutafanya kwa jina la bwana yetu na kumishukuru Mungu Baba.