swc_col_text_reg/03/22.txt

1 line
406 B
Plaintext

\v 22 Nyinyi watumwa muwatii wa Bwana wenu kwa kila kitu, musiwapendeze tu wakati munapowaona, lakini mufanye yote kwa roho mzuri. Muogopeni Mungu. \v 23 Mufanye kila jambo kwa roho nzuri, siyo kwa kuwapendeza watu lakini kwa kumpendeza Mungu \v 24 Mujue kama mutapokeya zawadi nzuri kwa Bwana kama vile malipo ya kazi munayofanya. \v 25 Mwenye kupenda kutenda mabaya ata pata malipo ya ubeya wake mwenyewe