swc_col_text_reg/01/28.txt

1 line
233 B
Plaintext

\v 28 Ni yeyé tunayehubiri. Tunashauriya na kufundisha watu wote katika akikili, kusudi tupeleke watu wote wakiwa wanakamilika katika Kristo. \v 29 Kwa sabu hii ninatumika na kupigana kupitiya nguvu na uwezo aliyo tiya ndani yangu.