swc_col_text_reg/04/07.txt

1 line
285 B
Plaintext

\v 7 Kwa yote inayonihusu, Tikiko atawajulisha. yeye ni ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu, mutumwa kama mimi katika Bwana. \v 8 Namutuma kwenu kusudi mupate kujua hali yetu, na kuwapa nguvu. \v 9 Nilmutuma pamoja na onesimo mwaminifu na ndugu mpendwa, atwaambiya yote iliyopita huku.