swc_col_text_reg/04/05.txt

1 line
168 B
Plaintext

\v 5 Mutembeye katika hekima kwa wale wa inje, na mujinunuliye tena wakati. \v 6 Masemo yenu iwe inapendeza. Iwe na utamu wa chunvi juu mujue namuna gani mutajibiyana.