swc_col_text_reg/04/02.txt

1 line
304 B
Plaintext

\v 2 Mudumu sana ndani ya maombi. Mkeshe katika maombi na kurudisha shukrani kwa Mungu. \v 3 Mutuombeye na sisi pia, juu Mungu atufunguliye mulango wa neno lake lake la siri lilo katika Kristo. Kwa sababu ya hii neno, mimi nafungwa. \v 4 Basi Muzidi kuniombea kusudi nifonye kazi ya Bwana nafuraha yote.